Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Waandamanaji Kenya watawanywa kwa mabomu ya kutoa machozi
Wakati nchini Tanzania polisi wakitahadharisha kutofanya maandamano, huko kenya vitoa machozi vimetumika kusambaratisha maandamano ya sabasaba.
Maandamano ya sabasaba yanafanyika Kenya ikiwa ni miaka 30 ya saba saba, siku ambayo kulikuwa na maandamano nchi nzima Kenya mwaka 1990 kudai demokrasia ya vyama vingi kutoka kwa utawala wa Rais Moi.