Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Safari ya kisiasa ya Pierre Nkurunziza nchini Burundi
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ameaga dunia baada ya kupata mshtuko wa moyo. Serikali ya Burundi ilitangaza kwenye mtandao wa Twitter.
Baada ya kuwa madarakani kwa miaka 15, Nkurunziza aliandaliwa kutambulika kuwa 'kiongozi mkuu wa uzalendo' baada ya kuondoka madarakani mwezi Agosti.
Burundi imetangaza siku saba za maombolezo.