Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
India: Wahanga wa vurugu za Delhi wahoji hatma yao
Zaidi ya watu 40 wamefariki katika vurugu za siku tatu nchini India, walengwa wakiwa waislamu ingawa wote wabaniani na waislamu wamekufa.
Huku zaidi ya watu 200 wamejeruhiwa ktika vurugu hizo ambazo zilizoanza kupinga sheria uraia inayodaiwa kuwabagua waislamu.