Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Nini kinachoendelea kati ya Iran na Marekani
Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa anasisistiza kuwa mataifa ya Ulaya yanastahili kuchukua hatua madhubuti kuilipa fidia Tehran kutokana na hasara ya kiuchumi iliyosababishwa na vikwazo vya marekani dhidi yake - la sivyo itaendelea na mpango wake wa uundaji silaha za nyuklia. Nayo Marekani inataka kubuni muungano wa kimataifa wa kijeshi kulinda mipaka ya majini katika eneo la Iran na Yemen.Lakini mzozo ulioshuhudiwa hivi karibuni kati ya mataifa hayo mawaili sio jambo geni- Nchi hizi zimekuwa na uhasama wa miongo kadhaa.