Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
McDonald's zote Peru zilifungwa kwa siku mbili
Migahawa yote ya Mc Donalds nchini Peru imefungwa kwa sikumbili baada ya vijana wawili kufariki baada ya kuuawa na umeme kwenye tawi moja la mgahawa huo jijini Lima.
Alexandra Porras Inga, mwenye miaka 19, na Gabriel Campos Zapata, aliye na miaka 18, walifariki walipokuwa wakisafisha sehemu ya jikoni ya mkahawa huo.
Unadhani migahawa imeweka mikakati ya kutosha ya usalama?