Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Museveni: 'Bobi Wine ni adui wa maendeleo'
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amemtaja mkosoaji wake, mwanamuziki aliyegeuka kuwa mwanasiasa Robert Kyagulanyi au Bobi Wine, kama "adui wa mafanikio ya nchi".
Sikiliza mahojiano kamili na rais Museveni