Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wanandoa wazama wakipiga 'selfie'
Wanandoa wachanga na jamaa wake wengine watatu wamezama maji wakijaribu kupiga picha al maarufu selfie katika jimbo la Tamil Nadu Kusini mwa India. Waliofariki ni miongoni mwa watu sita waliokuwa wameshikana mikono karibu na bwawa moja, wakati mmoja wao alipotekeleza na kutumbukia ndani, huku akiwa amewavuta wengine.
Je, upigaji picha katika sehemu hatarishi zinastahili kupigwa marufuku?
Tujadilane kwenye Facebook BBCSwahili.com