Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Jumba la mateso Nigeria: Polisi wawaokoa watu 500 waliofungwa na kunyanyaswa Kaduna
Wanaume na wavulana 500 wameokolewa kutoka kwenye jumba moja mjini Kaduna ambako walifungwa kwa minyororo na kunyanyaswa kingono Nigeria. Polisi wanasema ni utumwa wa binaadamu. Watu saba wakiwemo walimu katika jumba hilo linalotajwa kuwa shule ya mafunzo ya kidini wamakamatwa.