Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
BBC Africa Eye: Rais Adama Barrow asema huenda asijiuzulu Gambia baada ya miaka mitatu
Mnamo 2016, raia nchini Gambia waliouonyesha ulimwengu nguvu ya demokrasia wakati walipomtimua rais Yahya Jammeh kupitia uchaguzi. Sasa kuna wasiwasi kuwa rais mpya nchini humo Adama Barrow, huenda pia akajaribu kung'angania uongozi. Ameiambia BBC Africa Eye hatotii makubaliano ya kujiuzulu baada ya miaka mitatu na anafikiria kushiriki katika uchaguzi ujao.