Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Veronica Nkundya: Aeleza yaliomkuta mumewe Raphael Ongangi alipotekwa Tanzania
Leo ni siku ya saba tangu kutekwa kwa raia mKenya na mfanyabiashara anayeishi nchini Tanzania Raphael Ongangi. Raphael Ongangi alitekwa nyara akiwa na mke wake maeneo ya Oysterbey jijini Dar es Salaam alipokua akitoka katika kikao cha wazazi katika shule ya mtoto wao.
Lakini tukio hilo lilitokea vipi hasa? Mkewe Bi Veronica Nkundya anasimulia anachokumbuka: