Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ukarimu kwa watu wenye ulemavu ni miongoni mwa sifa zinazoendelea kuenziwa kwa Dr.Mengi
Kila mwaka Dr. Reginald Mengi alijiwekea utaratibu wa mwaka mpya unapoingia huwa anaamdaa chakula cha mchana na kula na wenye ulemavu wa kila aina nchini Tanzania .
Mwenyekiti mtendaji wa makampuni ya IPP na moja ya watu matajiri na mfanya biashara mashuhuri nchini Tanzania na duniani Dr Reginald Mengi amefariki dunia alfajiri ya leo mjini Dubai falme za kiarabu alikokuwa kwa mapumziko na familia yake.