Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kwa nini mtu huyu aliamua kwenda kuishi pangoni
Hali ya maisha ya wakaazi nchini Kenya inazidi kuwa ngumu. Na hiyo huenda ndio sababu kwa nini Swaleh Rama mwenye umri wa miaka 27 ameamua kuishi pangoni kwa miaka minne sasa katika bustani ya Mama Ngina mjini Mombasa .Mwandishi wa BBC John Nene alikutana naye ili kuelewa kwa nini alimua kuchukua hatua hiyo.
Ripoti: John Nene