Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kikosi hicho kinawahusisha watu wenye umri wa miaka 50 na zaidi
Rais wa Venezuela Nicolas Maduro ameahidi kuwasajili wapiganaji wengine zaidi ya milioni moja kwenye kikosi cha kujitolea mwaka huu.