Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mji wa Awwaaday ulioko nchini Ethiopia unatambulika kama mji mkuu wa mirungi
Mji wa Awwaaday ulioko nchini Ethiopia unatambulika kama mji mkuu wa mirungi kwa kutokana na maelfu ya tani za miraa zinazouzwa. Kati ya dola milioni 1.1 na dola milioni 1.3 za Marekani hutumika katika biashara hiyo ndani ya mji huo kila siku husambaa katika mji huo kila siku.