Kevin Oduor Wesonga: Mchongaji sanamu maarufu anayetumia mkono mmoja Kenya

Maelezo ya video, Mchongaji sanamu maarufu anayetumia mkono mmoja Kenya

Mchongaji mwenye mkono mmoja ambaye ndiye aliyechonga sanamu ya Dedan Kimathi iliopo katikati ya jiji la Nairobi nchini Kenya ili kujipatia kipato.

Ripoti: Judy Wambare

Video: Judith Wambare