Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Maalim Seif Sharif Hamad na viongozi wenzake kukabidhiwa uanachama ACT Wazalendo Tanzania
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamad, viongozi na wanachama wengine wanaomuunga mkono ndani ya chama hicho leo wanatarajiwa kukabidhiwa uanachama katika Chama cha ACT-WAZALENDO.
Mahakama Kuu ya Tanzania, iliidhinisha uamuzi wa msajili wa vyama vya kisiasa Tanzania kumtambua Profesa Ibrahim Lipumba kuwa mwenyekiti halali wa chama cha CUF hatua iliyopelekea kujiondosha kwa Maalim Seif kutoka chama hicho.
Je hatua hii ni pigo kiais gani kwa CUF na ina maana gani sasa kwa chama cha ACT Wazalendo katika ushawishi wa kisiasa Tanzania ikielekea katika uchaguzi mkuu mwaka 2020?
Mchambuzi wa masuala ya kisiasa Tanzania Said Msonga anatathmini: