Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Aggrey Mwandri: Vioja vya mkuu wa mkoa wa Tabora vinavyosisimua mitandao Tanzania
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwandri amekuwa akivuma katika mitandao ya kijamii Tanzania kwa matamshi anayotoa yanayosisimua umati anapohutubia. Baadhi hata kuchukua nukuu zake na kuzitumia katika video zilizohaririwa za utani au kejeli.
Je anasema nini kuhusu video zake zinavyotumika?
Video: Eagan Salla