Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Boniface Murage: Aliyejaribu kumtorosha mwanawe mchanga hospitalini aachiliwa huru
Mtu aliyejaribu kuitorosha familia yake hospitali kuu ya Kenyatta kwa kushindwa kulipa gharama aachiliwa huru Kenya.
arehe 16, mwezi Februari ,2019 itaendelea kusalia katika kumbukumbu za Boniface Murage na mkewe Agnes Elewo.
Bi Elewo alilazwa katika hospitali kuu ya Kenyatta jijini Nairobi (KNH) pamoja na mtoto wao wa mwezi mmoja ambaye alikuwa mgonjwa.