Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Walemavu Kenya wapambana na unyanyapaa na kudhihirisha wanaweza
Kwa miaka mingi walemavu wamekuwa wakidhalilishwa na kutengwa katika shughli mbalimbali za kila siku. Kampeni sasa dhidi ya unyanyapaa kwa watu walio na ulemavu imechangia pakubwa katika kuwawezesha watu wenye ulemavu kupata elimu na pia kuonyesha talanta zao. Jijini Nairobi Walemavu wameukabili unyanyapaa kwa kujitosa katika uwanamitindo.