Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanamume anayefuga mamba 40 nyumbani kwake Burundi
Ngendera Albert alipogundua kuwa mamba wanauawa na kufanywa kitoweo nchini Burundi, aliamua kuchukua hatua ya kuwalinda wanyama hao. Alianza kwa kununua mamba 12 na kuwahifadhi kwake Gatumba lakini sasa idadi yao inakaribia kufika 45.