Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Jinsi zoezi la upigaji kura lilifanyika DRC
Karibu watu milioni 40 wamejiandikisha kupiga kura nchini Jamhuri ya Demokrarsi ya Congo ambapo Rais Joseph Kabila ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka 2001 anaondoka.