Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ndoto yake ni kuwa mkufunzi wa walimbwende wenye ualbino
Elizabeth James mshiriki wa shindano la mr na miss Albino Afrika Mashariki. Ndoto yake ni kuwa mkufunzi wa walimbwende hasa wenye ualbino. Mlimbwende huyu kutoka Tanzania anasema licha ya kudhihakiwa na kuitwa majina ya kuvunja moyo hana hofu na uwezo wake katika Sanaa na ulimbwende na ana uwezo wa kutumia vyema talanta yake. Mlimbwende huyu alizungumza na mwanahabari wetu Eagan Salla