Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Marie Stopes yazuia huduma za uavyaji wa mimba Kenya
Wakuu wa matibabu nchini Kenya, wameishauri huduma kuu ya kituo cha kimataifa cha matibabu ya uzazi maarufu Marie Stopes, kukoma mara moja kutoa huduma ya aina yoyote ya uavyaji mimba.