Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mkasa wa MV Nyerere Tanzania: Familia zazungumza kuhusu wapendwa wao Tanzania
Kivuko kilichopewa jina MV Nyerere kilizama Alhamisi adhuhuri kikitokea bandari ya Bugolora katika kisiwa cha Ukerewe kuelekea katika kisiwa cha Ukara ambapo takriban watu 209 wakidaiwa kufariki