Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Waombolezaji Ghana waghadhabishwa kwa kufunikwa jeneza la Kofi Annan
Raia Ghana wanatoa heshima zao za mwisho kwa katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa mataifa Kofi Annan kabla ya maziko Alhamisi