Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ramani ya bara la Afrika iliyochorwa kwenye Jabali Njombe Tanzania
Je umewahi kusikia ramani ya bara la Afrika iliyochorwa katika hali isiyo ya kawaida juu ya jiwe?
Huko mkoani Njombe, Kusini magharibi mwa Tanzania, watu wamekuwa wakimiminika kwenda kujionea mchoro wa ramani ya bara Afrika uliopo kwenye jiwe lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 7 ambao haujachorwa na mwanadamu.
Mpiga picha wetu Eagan Salla alifika kujionea