Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Sherehe za kuwapatia majina sokwe zafanyika nchini Rwanda
Majina haya hutolewa na baadhi ya watu mashuhuri duniani.Sherehe za leo walikuwepo Rais Wa zamani Wa Nigeria Olusegun Obasanjo mama Graca Mashel mke Wa marehemu Nelson Mandela , wafanyabiasha wakubwa duninia na baadhi ya wachezaji wa zamani Wa Arsenal, wanamuziki kama Akon miongoni mwa wengine.