Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
China imedaiwa kuwakamata Waislamu milioni moja ili kuzuia ugaidi
China imedaiwa kuwakamata hadi Waislamu wa kabila la Uighur wapatao milioni moja.UN inasema kuwa kitendo hicho kinafanyika Xinjiang ambapo watu milioni 10 wa kabila hillo wapo. Serikali inalaumu wapiganaji wa Kiislamu na wanaotaka kujitenga kwa ghasia katika eneo hilo.