Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Michepuko ya ma 'Sugar Daddy' Kenya
Kilichokuwa kinafanywa kwa siri zamani, sasa hivi kiko wazi na katika mitandao ya kijamii, vyuo kikuu, vilabu na hata katika instagram,wasichana wakiri bila hofu kuwa wanadhaminiwa na wazee ambapo nao kwa upande wao wanafanya mapenzi nao. Lakini shughuli ya kutatufa mdhamini au 'sponsor', tajiri inahusika na mahitaji ama ulafi? Chochote kinachosababisha haya, vijana wengi barani Afrika wanatafuta njia za kuwavutia masugar daddy na masugar mummy kwa matumaini ya kubadilisha maisha yao.