Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ni kwanini raia wanaishi kwa umaskini Congo licha ya utajiri wa nchi?
Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo inastahili kuwa mojawapo wa mataifa tajiri duniani. Lakini watu wengi wanaishi kwa umaskini, hofu na ghasia. Mhariri wa BBC Fergal Keane anatathmini tatizo ni lipi na ni wapi palipokoseka?