Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ujenzi wa reli ya kisasa Kenya watishia wanyamapori Nairobi
Ujenzi wa njia ya kwanza ya reli ya mwendo kasi nchini Kenya, zitakuwa ni habari nzuri. Lakini sehemu ya njia hiyo ya reli inajengwa kupitia katika mbuga ya wanyama ilioko katika mji mkuu, Nairobi.
Wanaharakati wanasema hali hiyo itasababisha kitisho kwa wanyamapori, wanaovutia watalii duniani kote.