Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kliniki ya Fedha: Jinsi ya kuboresha uhusiano kwenye ndoa kupitia matumizi ya fedha
Masuala ya kifedha huchangia sana katika uhusiano kwenye familia na mara kwa mara kutoelewana kuhusu matumizi ya fedha huchangia ndoa kuvunjika.
Jijini Nairobi, tumezungumza na Japeth Kathenge na Linah Ingila wanaoishi Ziwani, ambapo wanafungia roho kuhusu masuala ya kifedha katika familia yao.