Watanzania wanawakumbuka Maria na Consolata wakitarajiwa kuzikwa Jumatano Tosamaganga
Watanzania wanawakumbuka pacha hao waliofariki kwa matumaini, uvumilivu waliokuwa nao, na kwamba hawakuwahi kukata tamaa katika maisha yao ya miaka 21.



Chanzo cha picha, Ikulu Tanzania


