Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mafuriko yatatiza jitihada za kuwasaidia waathirika Kenya
Barabara zilizofurika maji kutokana na mvua kubwa Kenya zimezusha changamoto katika kuwasaidia waathiriwa wa mafuriko katika sehemu tofuati nchini. Zaidi ya kaunti 13 zimeathirika na mvua kubwa inayonyesha huku watu 69 wakiripotiwa kufa tangu Machi mwaka huu.
Katibu mkuu wa shirika la msalaba mwekundu Kenya Abbas Gulet amezungumza na BBC Swahili