Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanamume anayeishi na chui na fisi nyumbani kwake
Prakash Amte huwaokoa wanyama mwitu ambao wazazi wao wameuawa na wawindaji nchini India.
Anaishi na wanyama wa aina mbalimbali wakiwemo chuo, fisi, dubu na ndege kwa mfano tausi.
Lakini maafisa wa uhifadhi wa wanyama wanasema anakiuka sheria za uhifadhi wa wanyama pori.