Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Wasichana Ghana wamepigwa marufuku kuvuka mto kipindi wanapokuwa kwenye hedhi.
Wasichana katika eneo moja nchini Ghana wamepigwa marufuku kuvuka mto mmoja kipindi wanapokuwa kwenye hedhi.
Marufuku hiyo, ambayo inadaiwa kutolewa na miungu wa mto wa eneo hilo imeshutumiwa sana na wanaharakati watetezi wa haki za watoto.