Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Watanzania walivyopokea mkutano wa Magufuli na Lowassa
Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania ambaye pia ni Waziri mkuu wa zamani wa Tanzania Edward Ngoyai Lowassa Jumanne alikutana na Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli na kumsifu sana kwa kazi anayoifanya.
Watanzania wamepokeaje hatua hiyo?