Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Diamond Platinumz azungumza na Salim Kikeke: Mahojiano kamili
Kila mtu ana ndoto zake maishani. Kwa msanii wa muziki nchini Tanzania Nasibu Abdul maarufu kama Diamond Platinumz ndoto yake yeye ni kuuweka muziki wa nchi yake katika ramani ya dunia.
Lakini pia kunayo kuhusu maisha yake ambayo yamezungumziwa sana.
Amebainisha hayo wakati akizungumza na Salim Kikeke mjini London