Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Uchaguzi ulivyoosababisha mauti na kilio Kenya
Uchaguzi wa marudio ulipokuwa unafanyika, katika maeneo mengi ngome za upinzani makabiliano yalishuhudiwa kati ya wafuasi wa Bw Raila Odinga na polisi.
Katika makabiliano hayo, baadhi ya watu ambao jamaa zao wanasema hawakuwa wanashiriki maandamano hayo walipigwa risasi na kuuawa.