Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Roselyn Akombe: Nahofia maisha yangu, sirudi Kenya karibuni
Aliyekuwa kamishna wa Tume ya Uchaguzi Kenya IEBC Dkt Roselyn Akombe amekwenda New York Marekani na kujiuzulu wadhifa wake katika tume hiyo.
Amesema anahofia maisha yake na hapangi kurudi Kenya hivi karibuni.