Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mimba za utotoni zinakwamisha ustawi Tanzania?
Siku ya kimataifa ya mtoto wa kike huadhimishwa kila tarehe 11 Oktoba.
Tanzania mwaka huu inashiriki kwa kaulimbiu inayosema tokomeza mimba za utotoni tufikie uchumi wa viwanda.
Haba na Haba leo tunakuuliza, je, Tanzania inaweza kuangamiza mimba za utotoni?