Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Fausta: Faru mzee zaidi duniani anayeishi Tanzania
Tanzania licha ya kuwa na vivutio vingi vya utalii, lakini pia inajivunia kuwa na faru mweusi jike ambae ndie faru mzee zaidi duniani.
Faru huyo maarufu kwa jina la Fausta hivi sasa amehifadhiwa katika eneo maalumu baada ya afya yake kudhoofika.
Aboubakar Famau hivi karibuni alikuwa katika hifadhi ya taifa ya Ngorongoro na kutuandalia taarifa ifuatayo.