Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Biashara ya mende Tanzania
Je umewahi kufikiria kuwa mdudu mende anaweza kuwa mtaji wa kibiashara?
Ingawa jamii inawachukulia mende kama wadudu wachafu, Rwehura Daniel ni kijana wa kitanzania, ameweza kutumia ubunifu wake na kuanza kufuga na kuwauza mende, ambao wataalamu wa lishe wanasema kwamba wadudu hao wana kiwango kikubwa cha protein ambayo ni muhimu kwa binadamu na wanyama.
Ifuatayo ni taarifa ya David Nkya.