Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Jamii Tanzania inafahamu umuhimu wa kunyonyesha mtoto maziwa ya mama?
Mwezi Agosti huwa ni mwezi wa kuhamaisha kuhusu umuhimu wa kunyonyesha mtoto maziwa ya mama. Wataalamu hupendekeza mtoto anyonyeshwe maziwa ya mama pekee kwa miezi sita ya kwanza, lakini wengi huwa hawafuati hilo.
Katika Haba na Haba inazungumzia umuhimu wa kunyonyesha mtoto maziwa ya mama.