Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Farasi na punda katika uchaguzi wa urais Kenya
Katika uchaguzi wa urais Kenya utakaofanyika tarehe 8 Agosti, baadhi ya wachanganuzi wamesema ushindani mkali ni kati ya farasi wawili.
Wagombea wengine wanahisi vipi?
Kunao wanaojitazama kama punda, mwingine mbuni na mwingine kama ngamia.