Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kwa nini Ekuru Aukot anataka kuwa rais Kenya?
Dkt Ekuru Aukot ni miongoni mwa wagombea wanane katika kinyang’anyiro cha urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumanne wiki ijayo.
Japokuwa wengi hawamfahamu kwa kina ni nani, anasema kuwa Kenya inahitaji mabadiliko ili kuweza kujinasua kutoka kwa shida zinazowakabili Wakenya.
Anaamini kwamba yeye ndiye suluhu. Je, ni kwa nini anajiona kama ngamia?