Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Ubunifu wa asili
Christina James ni mwanamke mjasiliamali wa Kitanzania aliyebuni utengenezaji wa Sabuni ya kuoshea vyombo kwa kutumia majivu yatokanayo na moto wa kuni au mkaa.
Omary Mkambara alimtembelea mjasiliamali huyo huko wilayani Chemba katika mji mkuu wa Tanzania,Dodoma na kutaka kujua anatengeneza vipi sabuni hiyo.