Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Magufuli: Ukishapata mimba ni kwaheri shuleni
Rais wa Tanzania John Magufuli amenukuliwa akisema kwamba chini ya utawala wake wasichana wa shule wanaopachikwa mimba hawatoruhusiwa kurudi shuleni baada ya kujifungua.
Kiongozi huyo alikuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara mjini Chalinze magharibi mwa mji mkuu Dar es Salaam.