Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mti mrefu zaidi Afrika kivutio kipya cha watalii Tanzania
Mkoa wa Kilimanjaro uliopo kaskazini mwa Tanzania, ni maarufu kwa shughuli za utalii.
Kila mwaka watalii huja kwa lengo la kupanda Mlima Kilimanjaro.
Lakini hivi sasa, watalii wamepata kivutio kingine mkoani humo. Hii ni baada ya serikali ya Tanzania kutangaza kuwepo kwa mti mrefu zaidi barani Afrika.