Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanamuziki Ariana Grande afuta tamasha zake za muziki kufuatia shambulizi la Manchester
Mwanamuziki Arina Grande, ameahirisha tamasha zake mbili ambazo zilikuwa zifanyike siku ya Alhamisi, na Ijumaa hii kufuatia shambulio la siku ya Jumatatu huko Manchester.
BBC imearifiwa kwamba polisi wa Uingereza wameacha kubadilishana taarifa za usalama kuhusu shambulio la Manchester, baada ya kufichuka kwa taarifa zinazoaminika zilitolewa na majasusi wa Marekani.
Sikiliza hayo na mengineyo.